У нас вы можете посмотреть бесплатно USIPUUZE MAUMIVU YA TUMBO: DALILI NDOGO, MADHARA MAKUBWA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
VIDONDA VYA TUMBO SI UGONJWA WA KAWAIDA! Watu wengi wanaishi na maumivu ya tumbo wakidhani ni njaa, gesi au uchovu wa kawaida—lakini kumbe ni vidonda vya tumbo, ugonjwa hatari unaoweza kusababisha kutokwa damu, kupasuka kwa tumbo na hata kifo kama hautatibiwa mapema. Katika kipindi hiki utajifunza: ✔️ Vidonda vya tumbo ni nini na hutokea vipi ✔️ Sababu kuu zinazochochea vidonda vya tumbo ikiwemo matumizi ya dawa kiholela, msongo wa mawazo na maambukizi ya bakteria H. pylori ✔️ Dalili za hatari kama maumivu makali ya tumbo, kiungulia cha mara kwa mara, kichefuchefu, kutapika damu au kinyesi cheusi ✔️ Madhara makubwa ya kuchelewa kupata matibabu ✔️ Njia sahihi za kujikinga na vidonda vya tumbo na namna ya kuishi bila maumivu ⚠️ Usipuuze dalili ndogo—zinaweza kukupeleka kwenye hatari kubwa. Afya yako inaanzia kwenye uelewa sahihi na matibabu ya mapema. 📍 Karibu Royal Polyclinic, tunatoa huduma za uchunguzi na matibabu ya vidonda vya tumbo kwa wataalamu wa afya, kwa vipimo sahihi na ushauri wa kitaalamu. 📞 Wasiliana nasi au fika kituoni kwa huduma bora. 👉 SUBSCRIBE, LIKE na SHARE ili kuwasaidia wengine kuokoa afya zao.