У нас вы можете посмотреть бесплатно Utaratibu wa kuanza kutumia benki kama njia ya utoaji wa mikopo ya asilimia 10 Waanza kung’ata или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Utaratibu wa kuanza kutumia benki kama njia ya utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri nchini umeanza kung’ata baada ya kubainika kwamba vikundi 95 kati ya 120 katika halmashauri ya Wilaya ya Ilala havikutimiza vigezo na wanatakiwa kufanya marekebisho ili kupewa mikopo. Baadhi ya changamoto zilizotajwa ni pamoja na udanganyifu katika miradi, uwepo wa wana vikundi hewa, na ukosefu wa elimu ya kutosha. #azamtvupdates Mhariri | John Mbalamwezi