У нас вы можете посмотреть бесплатно Wakaazi wa Kaptik wafunga barabara ya Chavakali-Kapsabet kuandamania barabara mbovu или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Shughuli za usafiri zilitatizwa jana jioni kwenye barabara ya Chavakali kwenda Kapsabet baada ya wanainchi wenye hamaki kufunga barabara hiyo eneo la Kaptik eneo bunge la Hamisi kaunti ya Vihiga kufuatia ajali iliyosababisha vifo vya wanafunzi wawili wa shule ya upili ya Kaptik na mhudumu wa bodaboda . Watatu hao ni wasichana wawili na muhudumu wa boda boda huku mwanafunzi mmoja akiendelea kupokea matibabu katika hospitali moja kaunti ya nandi . Wakazi wakilalamikia hali mbaya ya barabara hiyo wakilaumu mwanakandarasi anayejenga barabara hiyo.