У нас вы можете посмотреть бесплатно KENHA imefanya kiakao na Wakazi wa Nithi Tharaka county kuhusu ujenji wa daraja la Nithi или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mamlaka ya ujenzi wa Barabara Kuu Nchini KENHA imefanya kikao cha Umma kueleza ujenzi wa daraja jipya la Nithi, pamoja na upanuzi wa barabara hiyo. Kulingana na Mhandisi Michael Wangala Naibu mkurugenzi wa KeNHA, Daraja la Nithi litakuwa na urefu wa Mita 880, na pia barabara itajengwa upya ya urefu wa Kilomita 2.7. ujenzi wa daraja hilo itachukua muda wa miaka miwili.