У нас вы можете посмотреть бесплатно E HABARI MARCH 10 2026/NEMC YAKIFUNGIA KIWANDA CHA MARANILE KIBAHA KWA UCHAFUZI WA MAZINGIRA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
BARAZA la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limekifungia kiwanda cha MARANILE kilichopo Misugusugu, Kibaha mkoani Pwani kinachojihusisha na uzalishaji wa kemikali aina ya ETHANOL na gesi ya CARBON DIOXIDE baada ya kubaini kiwanda hicho kimekaidi utekelezaji wa maelekezo ya mamlaka hiyo kwa kuendelea kutiririsha maji taka yasiyotibiwa na kusababisha athari kwa wananchi pamoja na uharibifu wa mazingira.