У нас вы можете посмотреть бесплатно Makala: Picha za kupotosha kuhusu Khamenei akiwa kwenye vifusi или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
#khamenei #iran #fakenews Tunaangalia picha za kiongozi mkuu wa Iran aliyefunikwa kwenye vifusi ambayo imeundwa kupitia AI. Kiongozi mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei aliuawa katika mashambulio ya pamoja ya Marekani na Israel yaliyoanza Februari 28, 2026, lakini picha zinazodaiwa kuonyesha maiti yake iliyofunikwa kwenye vifusi zimeenea kwenye mitandao ya kijamii. Picha hizi ni sehemu ya kuongezeka kwa taarifa potofu mtandaoni kufuatia kifo cha kiongozi huyo wa muda mrefu wa Iran, na kwa kuzitazama kwa makini kwa kutumia zana za utambuzi, zina uwezekano wa kuundwa kwa AI.