У нас вы можете посмотреть бесплатно Makala: Ukweli au Uongo или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Moja ya habari tunayoangazia ni dai kuwa utawala nchini Urusi umeondoa hitaji la viza kwa waafrika wote. Wakati huu Kremlin ikiendelea kuweka mbinu za kuwa na ushawishi barani Afrika dhidi ya nchi za magharibi, chapisho kwenye TikTok linadai Urusi imeondoa mahitaji ya viza kwa mataifa yote ya Afrika. Hata hivyo, hii inapotosha; ni nchi sita tu za Kiafrika zinazofurahia kuingia Urusi bila viza, na utawala nchini humo tangu mwaka 2023 haujazungumzia pendekezo la kuondoa viza kwa bara hilo.