У нас вы можете посмотреть бесплатно Inasikitisha:MAMA ALIEACHIWA MTOTO YATIMA ASIMULIA MAZITO "KULA KWENYEWE IMEKUWA SHIDA. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mama mmoja mkazi wa Manispaa ya Morogoro, anaishi katika mazingira magumu baada ya kubaki na jukumu la kumlea mtoto yatima aliyefiwa na mama yake, ambaye alikuwa mtoto wake mwenyewe. Mtoto huyo aliachiwa mikononi mwa mama baada ya mama mzazi kufariki dunia, hali iliyomwacha mama huyo na mzigo mkubwa wa maisha. anaeleza kuwa hali ya maisha imekuwa ngumu kupita maelezo, kwani hana kazi wala chanzo chochote cha kipato. Kwa siku nyingi, hata kupata shilingi elfu moja kwa ajili ya chakula imekuwa ni changamoto kubwa. Kutokana na hali hiyo, yeye na mtoto huyo wamekuwa wakiishi kwa kutegemea msaada wa watu wenye moyo wa huruma. Mbali na changamoto za kiuchumi, mama huyu pia anakabiliwa na ugonjwa wa kifafa, hali inayozidi kumuwekea ugumu katika kutafuta kazi au kufanya shughuli za kujipatia kipato. Anasema ugonjwa huo umekuwa ukimsumbua mara kwa mara, huku akikosa uwezo wa kupata matibabu ya uhakika kutokana na ukosefu wa fedha. Kutokana na hali hiyo, mama huyu anaomba msaada kwa Watanzania na wadau mbalimbali wenye nia njema ili kusaidia mahitaji ya msingi kama chakula, matibabu na malezi ya mtoto huyo yatima. Kwa yeyote mwenye moyo wa kusaidia, anaweza kuwasiliana naye kupitia namba ya simu: 0683 986 375.janeth kamoya #automobile #africa #love #extraordinarystories #news #duet #funny #habesha