У нас вы можете посмотреть бесплатно CCM RUKWA YAADHIMISHA MIAKA 49, NAMELOK SOKOINE AHIMIZA AMANI,UMOJA NA MSHIKAMANO или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Ili kuwa mwanafamilia wa Malaika Tv kila unapo tazama Habari zetu usisahau ku SUBSCRIBE na LIKE kisha COMMENT Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Rukwa kimeadhimisha kilele cha miaka 49 tangu kuanzishwa kwake, huku mgeni rasmi, Ndugu Namelok Edward Sokoine, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, akiwataka wanachama na wananchi kuendelea kudumisha umoja na amani kama msingi wa maendeleo ya Taifa. Maadhimisho hayo yamefanyika leo Februari 5, 2026 katika Kata ya Matanga, Manispaa ya Sumbawanga, yakihudhuriwa na viongozi wa Chama na Serikali, wanachama pamoja na wananchi.