У нас вы можете посмотреть бесплатно DKT.MWIGULU AWAAGIZA VIONGOZI KUSAIDIA WATU WENYE ULEMAVU или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amewaagiza viongozi wa mikoa na wilaya kuhakikisha wanawasaidia watu wenye ulemavu wanaofika ofisini kwao wakiwa na mahitaji ya kifedha. Amesema viongozi wanapaswa kuwachangisha wao wenyewe na kuwapatia msaada huo moja kwa moja badala ya kuwaacha bila msaada. Akizungumza Februari 21, 2026 wilayani Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Nchemba amesisitiza kuwa viongozi wanamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, hivyo ni wajibu wao kutumia rasilimali zilizopo kusaidia wananchi wenye mahitaji maalum.