У нас вы можете посмотреть бесплатно GEITA:INASIKITISHA WALINZI WATATU WAUAWA NA MTU ASIYEJULIKANA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Walinzi watatu wa kampuni tofauti wamekutwa wameuawa katika sehemu zao za kazi usiku wa kuamkia leo Desemba 22,2022 katika mtaa wa Shilabela kata ya Buhalahala mjini Geita Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa Shilabela Bw Fedrick Masalu amefika kwenye eneo la tukio na kuwataja walinzi hao waliouwawa kuwa ni Charles Shija ,Jumanne Shabani na Henry Selestine huku akiwaomba wananchi kuwa na utulivu katika kipindi hiki kigumu ambapo Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi zaidi wa tukio hilo.