У нас вы можете посмотреть бесплатно Habari potofu zinavyotishia mkataba wa amani Sudan kusini или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Makubaliano ya amani nchini Sudan Kusini yanakabiliwa na vitisho na hivyo wadau lazima husika wautekeleze licha ya changamoto zilizoko, amesema Luteni Jenerali Mohan Subramanian ambaye ni Kamanda Mkuu wa kikosi cha ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, UNMISS. Luteni Jenerali Subramanian ametanabaisha hayo hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani alipohojiwa na Idhaa ya Umoja wa Mataifa ya kihindi wakati huu akitamatisha jukumu lake huko Juba, Sudan Kusini. #HabarizaUN #UmojawaMataifa #Kiswahili #UNNewsKiswahili