У нас вы можете посмотреть бесплатно Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imesema majukumu ya Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) yakitekelezwa ipasavyo yatalipunguzia Taifa mzigo wa kuhudumia wananchi wanaoweza kuumia au kupata magonjwa yatokayo na kazi. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Hawa Chakoma, alipokuwa akihitimisha mafunzo ya usalama na afya mahali pa kazi yaliyotolewa na OSHA kwa wajumbe wa Kamati hiyo (Februari 12, 2026).