У нас вы можете посмотреть бесплатно 'ASIYEPELEKA MTOTO SHULE KUSAKWA-RC MRINDOKO или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
KATAVI: Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amefanya ziara katika shule za awali, msingi na sekondari ikiwa ni sehemu ya kukagua hali ya wanafunzi kuripoti shule. Katika hatua hiyo Mrindoko amepiga marufuku mwanafunzi kuzuiliwa kupokelewa shule hata kama hana mahitaji muhimu ikiwemo sare za shule. Aidha Mrindoko amewataka wazazi na walezi kuwapeleka wanafunzi shule kwa wakati sahihi ili kuungana na wenzao ili waweze kufundishwa kwa pamoja.