У нас вы можете посмотреть бесплатно BAADA YA MIAKA 90 KLABU YA AFRICAN SPORTS WAPATA BASI LA KUSAFIRIA. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Katika kuhakikisha mchezo ya mpira wa miguu unarudi katika kufanya vizuri kwa maslahi mapana ya mkoa wa Tanga Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga MCC Rajabu Abdallah amekabidhi klabu ya African Sports basi lengo ni kuwarahisishi usafiri wa kuwatoa sehemu moja kwenda nyingine kushiriki mechi mbalimbali. Akizungumza na wananchi wa Tanga na viongozi wa Timu hiyo MCC Rajabu ameeleza dhamira yake ni kuona mpira ule uliochezwa na Vilabu hivi vilivyo cheza mpira ambao ulipendwa na kuvutia sana vinarudi katika hadhi yake lazima tuirudishe Tanga ile yenye mpira kabambe wa miguu.