У нас вы можете посмотреть бесплатно RAIS SAMIA AFICHUA FURSA ZILIZOJIFICHA NGORONGORO или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Rais Dk Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali imechukua hatua ya kuwahamisha wananchi Ngorogoro kwa sababu eneo hilo lina baionuai nzuri kushinda mengine na fursa lukuki za utalii. Sio hivyo tu, amesema ni Ngorongoro pekee ndilo eneo lenye vivutio vya kipekee vya utalii, ambavyo si rahisi kuvikuta katika maeneo mengine duniani, kadhalika ndani yake kuna madini muhimu yanayohitajika na wengi.