У нас вы можете посмотреть бесплатно Je, wajua kuwa mapembe ya mji wa Mombasa yanauhusiano na Malkia Elizabeth? или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kwa wakaazi na wageni wengi wanaozuru kaunti ya Mombasa, eneo la Mapembeni ni maarufu sana na hata kuwa kivutio kikubwa cha utalii. Hata hivyo, wengi hawana ufahamu wa historia ya mapembe haya ambayo yalijengwa zaidi ya miaka 60 iliyopita kama Ishara ya heshima kwa Malkia Elizabeth wa Pili. Francis Mtalaki anaarifu kuhusu mapembe haya na hata mnara wa Makadara ambayo yamesalia kumbukumbu za Uingereza