У нас вы можете посмотреть бесплатно Wizara ya afya imeanzisha uchunguzi kuhusu kifo cha mama mjamzito katika hospitali Kakamega или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wizara ya afya imeanzisha uchunguzi kuhusu kifo cha mama mjamzito katika hospitali ya kimisheni eneo la Mukumu kaunti ya Kakamega. Akizungumza mbele ya kamati ya bunge, waziri Aden Duale amesema wizara hio inafuatilia chanzo cha kifo cha grace wambui misgito ambaye taarifa yake iliangaziwa na runinga ya citizen hapo jana. Kulingana na familia ya mama huyo, kulikuwa na utepetevu wakiongeza kuwa wauguzi katika hospitali hiyo walimdhulumu na kumtandika akijifungua hadi akafariki