У нас вы можете посмотреть бесплатно Profesa Mkumbo amfagilia Nsekela, asema amevaa viatu vya Dk Kimei, anyakua tuzo или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri wa Viwanda na Biashara Profesa Kitila Mkumbo, amemfagilia Mkurugenzi mtendaji wa benki ya CRDB Abdulmajid Mussa Nsekela akieleza kuwa tuzo aliyopata niishara kuwa ameweza kuvivaa viatu vya mtangulizi wake Dk Charles Kimei katika benki hiyo. Profesa Mkumbo ameyasema haya kwenye Sherehe ya kuwatunuku zawadi ya kutambua mchango wa Watendaji wakuu (Top Executives) wa makampuni na mashirika mbalimbali Tanzania zilizoandaliwa na Kampuni ya Easternstar Consulting Group na kufanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijjini Dar Es Saalam