У нас вы можете посмотреть бесплатно WAENDESHA BODABODA MSANGAMKUU WAHOFIWA KUWABEBESHA MIMBA WANAFUNZI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wananchi wa kijiji cha Msangamkuu, halmashauri ya wilaya ya Mtwara, wamesema watoto wao wanalazimika kutembea umbali wa Kilometa Sita hadi kijiji cha Sinde kufuata shule ya sekondari, huku wengine wakibebwa kwenye Bodaboda watoto Wanne hadi Watano kwa pamoja. Baadhi ya wananchi wa kijiji hicho wakiongozwa na mwenyekiti wao Mfaume Abdallah ( Jeshi), wanaeleza wasiwasi wao juu ya watoto wao kubebwa na waendesha Bodaboda licha ya kukiri umbali uliopo kutoka kijijini hapo hadi kijiji cha Sinde ilipo sekondari. ENDELEA KU SUBSCRIBE CHANNEL YETU ILI TUWE PAMOJA KUPATA TAARIFA KWA WAKATI.