У нас вы можете посмотреть бесплатно SAMAKI ALIVYOFUKUA KINA CHA BANDARI MTWARA| MZEE WA MIAKA 107 AMESHUHUDIA, AELEZEA KILA KITU HAPA| или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mzee Alli Mkwewe ni mkazi wa Mtaa wa Rwelu Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara, Amezaliwa Mwaka 1914 na mpaka sasa ana jumla ya miaka 107. Faida Online TV tumemtembelea nyumbani kwake ili kujua kina cha Bandari ya Mtwara kilipatikana vipi. Hapa anafunguka kwamba mwaka 1949 Samaki aina ya Sale walifukua Bandari hiyo ambayo ilifunguliwa rasmi mwaka 1954.