У нас вы можете посмотреть бесплатно KWA UCHUNGU!!! Aslay Amlipua Mkubwa Fella или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
SUBSCRIBE NOW / uwazi1 Mwanamuziki wa Bongo Fleva anayeongoza kwa kupachikwa majina mbalimbali na kufananishwa na wasanii wakubwa kimataifa akiwemo Chris Brown, Aslay Isihaka ‘Fundi’, amesema kuwa baada ya kundi lao la Yamoto Band kuvunjika, yeye anaendelea vizuri na kazi zake wala hamna anachokikosa kwa sababu wakati anaanza hakuwa na kundi. Aslay ambaye kwa sasa anatamba na ngoma zisizohesabika kama vile, Likizo, Baby, Pusha, Nyakunyaku, Mhudumu na nyingine nyingi, alisema kuwa: “Nilianza muziki nikiwa peke yangu na nilikuwa mdogo kiumri, enzi zile za ‘Naenda Kusema kwa Mama’, ila niliweza kufanya vizuri, kwa hiyo kuingia kwenye kundi na kutoka sioni kama nitashindwa kuendeleza muziki wangu. subscribe kwenye chanel yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .