У нас вы можете посмотреть бесплатно WATU ZAIDI YA 50 WANUSURIKA KIFO BOTI YAO IKIZAMA MAFIA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Abiria zaidi ya 50 wamenusurika kufa baada ya boti yao iliyokuwa ikisafiri kutoka Kilindoni - Mafia kwenda Nyamisati - Kibiti kuzama jana asubuhi baada ya kuzidiwa na mawimbi. Mbunge wa Mafia amethibitisha tukio hilo na kusema abiria wote wameokolewa na hakuna majeruhi zaidi ya watu kupoteza mizigo yao. Abiria walionusurika wamesema boti yao ilizama baada ya maji kuanza kuingia ndani ya boti hiyo huku pampu za kotolea maji zikizidiwa na kushindwa kufanya kazi vizuri. #AzamTVUpdates #AzamNews #UTV