У нас вы можете посмотреть бесплатно Orodha ~tamthiliya~uchambuzi ~Part 1.(Whatsapp group tuma niunge 0779578768.) или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Tamthiliya ya Orodha inazungumzia zaidi kuhusu ugonjwa wa UKIMWI na madhara yake kwenye jamii.Mwandish anaweka wazi kuhusu gonjwa hili na tunaona mhusika mkuu Furaha anafariki dunia.Mwandishi wa tamthiliya hii ya ORODHA anawasilisha vyema dhamira zake kwa jamii kwa,mba gonjwa hili ni hatari kwa jamii.Mwandishi amefanikiwa kutumia wahusika ipasavyo pamoja na matumizi ya lugha ambayo inamfanya msomaji aweze kupenda kuendelea kusoma kwa kutaka kujua nini kilicho mbele. vitu ambavyo mwandishi amegusa ni pamoja na maudhui,kipengere cha dhamira,maambukizi ya VVU.,ATHARI ZA MAKUNDI RIKA,vishawishi,hofu,mmomonyoko wa maadili,mapenzi ya kweli,umbeya na masengenyo,kukata tamaa,tamaa,umalaya(ukahaba),unyanyapaa ,imani potofu,kukosekana kwa elimu juu ya ugonjwa wa ukimwi. kuna vipengere vingine vya maudhi kama vile,migogoro,,ujumbe,falsafa,mtazamo,swali.