У нас вы можете посмотреть бесплатно CHEKECHE | Israel na Iran wanaweza kuchochea vita? или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kitendo cha Iran kufyatua takribani makombora 200 kwa kuishambulia Israel na kuuwa watu wanane wakiwemo wanajeshi, kimezua gumzo tena kwenye Ukanda wa Mashariki ya kati. Hatua hii imeifanya Israel iendeleze mashambulizi zaidi huko Lebanon na ikiwa tayari imeshawaua maafisa mbalimbali wa kundi la Hezbollah akiwemo kiongozi wao marehemu Hassan Nasrallah. Israel imeenda mbali zaidi mpaka kutangaza kumzuia katibu mkuu wa umoja wa mataifa Antonio Guterres kukanyaga ardhi yao. Hii ina maana gani? Na je ni kwa namna gani mzozo huu ni tishio kwa Dunia?