У нас вы можете посмотреть бесплатно KILICHOWAKUTA WAKULIMA WA KAHAWA KAGERA, KATIKA USAJILI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
KAGERA: KAMPUNI ya Bizy Tech kwa kushirikiana na Bodi ya kahawa Tanzania TCB imeanza utekelezaji wa mpango wa utambuzi wa Kusajili wakulima wa Kahawa mkoani Kagera pamoja na mashamba ili kutekeleza matakwa ya Sheria ya utunzaji wa Mazingira ya jumuhia ya ulaya. Afisa mkuu wa kampuni hiyo akitoa Mafunzo kwa wasajili wa zoezi Hilo maafisa kilimo ,wadau wa kahawa Halmashauri za mkoa wa Kagera Amesema kuwa zoezi Hilo ni usajili wa mashamba kidgatal linalenga kuhimiza utunzaji wa mazingira ya asili na kulinda uoto wa asili huku zoezi Hilo likitoa mwanga kwa wafanyabiashara wanaotaka kuuza kahawa Katika masoko ya ulaya kuuza kahawa hiyo bila Vikwazo. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: / spotileo-176. . HabariLeo: / habarileo DailyNews: / dailynewstz INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09