У нас вы можете посмотреть бесплатно JESHI LA WASHAMI AIC EAST POKOT CHOIR. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Ukiisoma maandiko Matakatifu katika kitabu cha (Wafalme 5:1-19) inazungumzia habari ya mtu mmoja ambaye alikuwa jemedari wa Jeshi la WASHAMI, alikuwa mtaalamu wa vita lakini tatizo alilokuwa nalo alikuwa na ukoma, mwisho wa siku walipata habari ya mtumishi wa Mungu aliyekuwa anaitwa Elisha kuwa ni mtu ambaye akikuombea unapona, Naamani aliweza kufunga safari na kufika huko, lakini baada ya kufika huko Elisha alimwambia akajioshe kwenye mto Yordani. lakini Naamani alikataa na kuona ni kama ANADHARAULIWA, hivyo ndivyo kwenye maisha yetu kuna matatizo mengi tuliyonayo na tunahitaji kupona lakini wakati Mungu anatoa maelekezo kupitia watumishi wake tunakuwa na kiburi kwa sababu ya umaarufu tulionao. Songwriter & composer: Edward Bahame