У нас вы можете посмотреть бесплатно Madereva walalamikia vibali kutoka Latra или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mwenyekiti wa Wamiliki wa usafiri wa kukodi jijini Dar es Salaam, Yustaki Msoka akizungumza kwa niaba ya wamiliki wenzake kuhusu utaratibu wa kupata vibali vya kusafirishia kutoka Latra ambavyo vimekuwa changamoto kubwa kwa sasa. Wamiliki na wadau hao wameiomba serikali ikae na mamlaka husika kujadili namna ya upatikanaji bora wa vibali hivyo vya kusafirishia ili kuepuka usumbufu wanaoupata madereva hasa wakiwa njiani na abiria wao. Alisema hayo jijini Dar es Salaam leo