• ClipSaver
  • dtub.ru
ClipSaver
Русские видео
  • Смешные видео
  • Приколы
  • Обзоры
  • Новости
  • Тесты
  • Спорт
  • Любовь
  • Музыка
  • Разное
Сейчас в тренде
  • Фейгин лайф
  • Три кота
  • Самвел адамян
  • А4 ютуб
  • скачать бит
  • гитара с нуля
Иностранные видео
  • Funny Babies
  • Funny Sports
  • Funny Animals
  • Funny Pranks
  • Funny Magic
  • Funny Vines
  • Funny Virals
  • Funny K-Pop

Rais Magufuli aahidi kujenga barabara, aagiza kiwanda cha mafuta cha Moproco kufufuliwa. скачать в хорошем качестве

Rais Magufuli aahidi kujenga barabara, aagiza kiwanda cha mafuta cha Moproco kufufuliwa. 4 года назад

скачать видео

скачать mp3

скачать mp4

поделиться

телефон с камерой

телефон с видео

бесплатно

загрузить,

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
Rais Magufuli aahidi kujenga barabara, aagiza kiwanda cha mafuta cha Moproco kufufuliwa.
  • Поделиться ВК
  • Поделиться в ОК
  •  
  •  


Скачать видео с ютуб по ссылке или смотреть без блокировок на сайте: Rais Magufuli aahidi kujenga barabara, aagiza kiwanda cha mafuta cha Moproco kufufuliwa. в качестве 4k

У нас вы можете посмотреть бесплатно Rais Magufuli aahidi kujenga barabara, aagiza kiwanda cha mafuta cha Moproco kufufuliwa. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:

  • Информация по загрузке:

Скачать mp3 с ютуба отдельным файлом. Бесплатный рингтон Rais Magufuli aahidi kujenga barabara, aagiza kiwanda cha mafuta cha Moproco kufufuliwa. в формате MP3:


Если кнопки скачивания не загрузились НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru



Rais Magufuli aahidi kujenga barabara, aagiza kiwanda cha mafuta cha Moproco kufufuliwa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameaahidi kuanza ujenzi wa Barabara ya kutoka Bigwa hadi Kisaki Mkoani Morogoro kwa kiwango cha lami kwa kuwa ombi la kujenga barabara hiyo limetolewa na viongozi wengi na kwa muda mrefu. Rais Magufuli ametoa aahidi hiyo leo Februari 12, 2021 mara baada ya kuzindua Kiwanda cha kusafisha na kufungasha mazao ya Mikunde cha Mahashree Tanzania Limited kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro nje kidogo ya Manispaa ya Morogoro. Ikiwa siku ya pili ya ziara yake Mkoani humo, Rais Magufuli kabla ya kufungua kiwanda hicho alifungua viwanda viwili kikiwemo kiwanda cha ngozi na kiwanda cha kukoboa mpunga na hatimae kuzindua kiwanda hicho cha Mahashree Tanzania Limite kilichojengwa kwa ajili ya kuchakata mazao ya jamii ya mikunde. Amesema, ameamua kulibeba yeye mwenyewe ombi la kujenga barabara hiyo kwa sababu ombi hilo ni la muda mrefu na kwamba barabara hiyo inapitia maeneo muhimu na yenye watu wengi na utajiri Mkubwa, huku akiwataka watendaji wake wa ngazi ya Wizara kuanza kujipanga katika ujenzi wa barabara hiyo kwa awamu wakianza na ujenzi wa umbali wa kilometa 40. Mhe. Rais amefikia hatua hiyo baada ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare na Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Mkoa wa Morogoro ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mhe. Innocent Kalogeresi jana Februari 11 mwaka huu wakati wa siku ya kwanza ya ziara yake Mkoani Morogoro kwa nyakati tofauti walimuomba Mhe Rais barabara hiyo kujengwa kwa kiwango cha lami. Aidha, Mhe. Rais amekubali ombi hilo ya kuahidi ujenzi huo kuanza baada ya Mbunge wa Jimbo la Morogoro kusini Mashariki Mhe. Hamisi Tale tale maarufu kama Babu Tale naye kuwasilisha ombi la ujenzi wa barabara hiyo na barabara ya Ngerengere kujengwa kwa kiwango cha lami kwa kuwa wananchi wa jimbo hilo wamekuwa na changamoto ya barabara hiyo kwa muda mrefu.. Awali akiwa katika kiwanda cha MW RICE MILLERS LTD, Rais Magufuli ameiagiza Wizara ya Viwanda na Biashara kufufua kiwanda cha mafuta cha Moproco kilichopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kisha kutafuta wawekezaji ambao watakiendeleza kiwanda hicho ambacho kimetelekezwa kwa zaidi ya miaka 20. Naye Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo amewataka watanzania wote kwa ujumla kutoa ushirikiano wa kutosha kwa Watendaji wa Mitaa na Watendaji wa Vijiji katika zoezi la kuorodhesha majengo yanayotakiwa kulipiwa kodi kwa Serikali, zoezi ambalo litaanza nchi nzima kuanzia tarehe 15 hadi 28 mwaka huu. Amesema, lengo la kulipa kodi hiyo kwa serikali ni kupata fedha za kutosha kwa ajili ya maendeleo ya nchi na wananchi mmoja mmoja kwa jumla. Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amemuahidi Mhe. Rais kuendelea kuhamasisha wawekezaji ndani ya Mkoa na kuendeleza sera ya kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji. Mkuu huyo wa Mkoa wa Morogoro amesema Mkoa huo hadi sasa una jumla ya viwanda 3,652, kati yake viwanda vikubwa ni 25, vya kati ni 16, vidogo 326 na vidogo sana ni viwanda 3285. Akitoa salamu za Wizara ya Mifugo na Uvuvi Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof. Olesante Gabriel, amesema Wizara yake kwa sasa wamekomesha suala la wizi wa mifugo hapa nchini hususan wa ngo’mbe na kwamba wapo katika mkakati wa kupata njia mbadala ya kuwawekea ngo’ombe hao kifaa maalum katika miili yao ambacho kitasaidia kubaini ngo’mbe hao walipo endapo watakuwa wameibiwa. MWISHO

Comments
  • LIVE: UFUNGUZI WA KIWANDA CHA NGOZI - ACE LEATHER TANZANIA LIMITED - KIHONDA Трансляция закончилась 4 года назад
    LIVE: UFUNGUZI WA KIWANDA CHA NGOZI - ACE LEATHER TANZANIA LIMITED - KIHONDA
    Опубликовано: Трансляция закончилась 4 года назад
  • HOTUBA YA MHE RAIS AKIFUNGUA KIWANDA CHA NGOZI  CHA ACE LEATHER TANZANIA LTD,  MOROGORO 4 года назад
    HOTUBA YA MHE RAIS AKIFUNGUA KIWANDA CHA NGOZI CHA ACE LEATHER TANZANIA LTD, MOROGORO
    Опубликовано: 4 года назад
  • MAGUFULI AMVAA MBUNGE ABOOD, AMPA MAKAVU MBELE YA WANANCHI - 4 года назад
    MAGUFULI AMVAA MBUNGE ABOOD, AMPA MAKAVU MBELE YA WANANCHI - "NITAPATA DHAMBI NIKIKUPONGEZA"
    Опубликовано: 4 года назад
  • Rais Magufuli afurahishwa na ujezi wa mahandaki ya reli ya SGR 5 лет назад
    Rais Magufuli afurahishwa na ujezi wa mahandaki ya reli ya SGR
    Опубликовано: 5 лет назад
  • RAISI SAMIA ASHINDWA KUJIZUIA KUCHEKA MBELE YA UTANI WA MC ELIUD 7 месяцев назад
    RAISI SAMIA ASHINDWA KUJIZUIA KUCHEKA MBELE YA UTANI WA MC ELIUD
    Опубликовано: 7 месяцев назад
  • JPM atoa maagizo mazito Morogoro/atembea kwa miguu zaidi ya kilomita moja 5 лет назад
    JPM atoa maagizo mazito Morogoro/atembea kwa miguu zaidi ya kilomita moja
    Опубликовано: 5 лет назад
  • RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI MKURUGENZI WA HALMASHAURI MOROGORO 6 лет назад
    RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI MKURUGENZI WA HALMASHAURI MOROGORO
    Опубликовано: 6 лет назад
  • #TBCLIVE:RAIS MAGUFULI AKIZUNGUMZA NA WANANCHI MKOANI MOROGORO Трансляция закончилась 5 лет назад
    #TBCLIVE:RAIS MAGUFULI AKIZUNGUMZA NA WANANCHI MKOANI MOROGORO
    Опубликовано: Трансляция закончилась 5 лет назад
  • SITOWAVUMILIA WATENDAJI WAZEMBE KAZINI – DKT. BASHIRU 1 месяц назад
    SITOWAVUMILIA WATENDAJI WAZEMBE KAZINI – DKT. BASHIRU
    Опубликовано: 1 месяц назад
  • Mbunge wa Temeke mbele ya Rais Magufuli || aomba kusaidiwa deni || 'Hiyo msaau' Takukuru fuatilieni 4 года назад
    Mbunge wa Temeke mbele ya Rais Magufuli || aomba kusaidiwa deni || 'Hiyo msaau' Takukuru fuatilieni
    Опубликовано: 4 года назад
  • MEYA MPYA MANISPAA APONGEZWA KWA KUAMINIWA NA BARAZA 3 недели назад
    MEYA MPYA MANISPAA APONGEZWA KWA KUAMINIWA NA BARAZA
    Опубликовано: 3 недели назад
  • УЖЕ ЗАВТРА! Зеленский отправился на ПЕРЕГОВОРЫ с ТРАМПОМ! РЕШАЮЩАЯ встреча для УКРАИНЫ! 7 часов назад
    УЖЕ ЗАВТРА! Зеленский отправился на ПЕРЕГОВОРЫ с ТРАМПОМ! РЕШАЮЩАЯ встреча для УКРАИНЫ!
    Опубликовано: 7 часов назад
  • MEYA MPYA MANISPAA YA SINGIDA ATAKA USHIRIKIANO 3 недели назад
    MEYA MPYA MANISPAA YA SINGIDA ATAKA USHIRIKIANO
    Опубликовано: 3 недели назад
  • Generali Venance Mabeyo amuaga Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Avitaka vyombo vya Ulinzi Kushirikiana. 3 года назад
    Generali Venance Mabeyo amuaga Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Avitaka vyombo vya Ulinzi Kushirikiana.
    Опубликовано: 3 года назад
  • ⚡ Атака на Киев: повреждено более 10 домов! Как восстанавливают инфраструктуру? 7 часов назад
    ⚡ Атака на Киев: повреждено более 10 домов! Как восстанавливают инфраструктуру?
    Опубликовано: 7 часов назад
  • Mnada wa mifugo kwa mara ya kwanza Kibondo. 3 года назад
    Mnada wa mifugo kwa mara ya kwanza Kibondo.
    Опубликовано: 3 года назад
  • КАМЧЫБЕК ТАШИЕВ 8 часов назад
    КАМЧЫБЕК ТАШИЕВ "ЫСЫК-КӨЛ ОБЛУСУНУН ТҮШТҮК ТАРАБЫНДАГЫ АВТОЖОЛДУН КУРУЛУШУ" БОЮНЧА ӨТКӨРГӨН ЖЫЙЫН
    Опубликовано: 8 часов назад
  • Ташиев ИШТЕБЕГЕН жетечилерди ЖАМАН УРУШТУ 4 часа назад
    Ташиев ИШТЕБЕГЕН жетечилерди ЖАМАН УРУШТУ
    Опубликовано: 4 часа назад
  • Wakuu wa Mikoa Tanzania wameyaacha magari yao wamependa Treni MORO- DSM 7 лет назад
    Wakuu wa Mikoa Tanzania wameyaacha magari yao wamependa Treni MORO- DSM
    Опубликовано: 7 лет назад
  • Внутри тюремной реабилитации Талибана для наркозависимых 3 месяца назад
    Внутри тюремной реабилитации Талибана для наркозависимых
    Опубликовано: 3 месяца назад

Контактный email для правообладателей: [email protected] © 2017 - 2025

Отказ от ответственности - Disclaimer Правообладателям - DMCA Условия использования сайта - TOS



Карта сайта 1 Карта сайта 2 Карта сайта 3 Карта сайта 4 Карта сайта 5