У нас вы можете посмотреть бесплатно SERIKALI YADHAMIRIA KUIMARISHA MIUNDOMBINU KANDA YA KASKAZINI. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kamati ya kudumu ya bunge miundo mbinu imefanya ziara katika mkoa wa Tanga kujionea mababoresho ya miundombinu katika uwanja wa ndege Reli na Bandari ya Tanga . Akielezea jinsi serikali ilivyojipanga katika uboreshaji wa miundo mbinu mwenyekiti wa kamati hiyo Deusdedit Kakoso amesema dhamira ya serikali ni kuhakikisha inaunganisha kanda ya kaskazini. Pia Kakoso amewaagiza watumishi kuhakikisha ujenzi wanaotekeleza unaendana na uhalisia wa mradi uliopo.