У нас вы можете посмотреть бесплатно MAJAMBAZI WAMVAMIA MAMA ALIYEJIFUNGUA SIKU 5 APIGWA MAPANGA YEYE NA MUME WAKE. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
kufuatia tukio Hilo la mke na mume kuvamiwa na kujeruhiwa na vitu nyenye ncha Kali sehemu mbali mbali za miliyao kinacho sikitisha ni mama mwenye siku tano toka amejifungua na kufanyiwa tukio Hilo katika Kijiji Cha krashi kata ya drigishi wilayani kiteto mkoani manyara" Ngasatv ikazungumza na Sokoini sidole ambaye ni Mwenyekiti wa mtaa huo akieleza namna alivyoshudia tukio Hilo akiongea kwa njia ya sm anasema siku ya tukio ilikuwa nimajira ya saa sita za usiku kuelekea saa saba watu hawa waliwavamia na kuwajeruhi kichwani mikononi na baadhi ya sehemu mb ali mbali za miliyao yao huku mtoto mwenye siku tano akiwekewa vifurushi ya nguo Mpaka sasa Jeshi la polisi kiteto linawashikilia watu wawili kwa mahojiano zaidi #ngasatv #ngasamedia #ngasatvdodoma