У нас вы можете посмотреть бесплатно Maandamano zaidi yashuhudiwa nchini Tanzania kutokana na uchaguzi mkuu или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu wa Tanzania yanaonyesha kuwa mgombea wa kiti cha urais kwa tikiti ya Chama Cha Mapinduzi Samia Suluhu anaongoza kwa wingi wa kura zilizohesabiwa. Katibu mkuu kiongozi wa Tanzania Dkt Moses Mpogole alitoa taarifa kwa watumishi wote wa umma kufanyia kazi zao nyumbani isipokuwa wale ambao kazi zao zinawalazimu kuwepo afisini baada ya baadhi ya wapigakura kuandamana katika miji ya taifa hilo.