У нас вы можете посмотреть бесплатно SIKILIZA YALIOJIRI KATIKA KIKAO CHA WADAU WA SEKTA YA KILIMO WILAYA YA LUSHOTO: или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
hayo yalitokea katika kikao cha wadau wa sekta ya kilimo kilicho andaliwa na mkuu wa wilaya ya lushoto mhe,Japhari kubecha mwanzoni mwa wiki hii wakati akiongea na wadau hao,na kuweka mazimio mbalimbali. Hata hivo zilionekana changamoto nyingi kwa upate wa wakala wa mbolea na pembejeo za kilimo,ambazo pia zilitokewa maazimio na mkuu huyo wa wilaya. pia mkuu huyo alisema kana wakala huyo anashindwa kufanya kazi ya kuwasambazia wakulima mnolea na pembejeo hizo,basi vyama vya ushirika vipatiwe tenda hio ili kuwezesha wakulima hao kupata huduma hara na kwa wakati. SIKILIZA FULL VIDEO.