У нас вы можете посмотреть бесплатно MWENYEKITI WA CCM WILAYA YA LUSHOTO AMPONGEZA DC KWA KUANDAA KIKAO CHA WADAU WA KILIMO W,LUSHOTO или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Hayo aliyazungumza mwenyekiti wa Ccm wilaya ya lushoto mhe,Ally kasim dafa wakati akitoa salam zake katika kikao kazi cha alichokiandaa mkuu wa wilaya ya lushoto mhe,JAPHARI KUBECHA MGHAMBA. Hata hivo katika kikao hicho mkuu wa wilaya alikerwa sana na wakala wa usambazaji wa mbolea na pembejeo za kilimo kwa kucheleweshea wakulima pembejeo hizo na mbolea. Nae Yasin Bila ambae ni mhe,diwani wa kata ya lunguza amempongea mkuu wa wilaya kwa kuandaa kikao kazi hicho na kutoa maelekezo juu ya upatikanaji wa mbolea kwa wakati,makusema kua kama mzabuni huyo wa pembejeo hizo ameshindwa kazi basi wapewe vyama nya ushirika tenda hio. SIKILIZA FULL VIDEO...