У нас вы можете посмотреть бесплатно Ujerumani na Kenya zatetea kuimarishwa kwa Umoja wa Mataifa katika usimamizi wa amani или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mawaziri wa mambo ya nje wa Ujerumani na Kenya wameweka wazi msimamo wao kuhusu umuhimu wa kuimarisha Umoja wa Mataifa kama nguzo kuu ya usimamizi wa amani na utatuzi wa migogoro duniani, wakati kukiwa na wasiwasi unaotokana na taarifa kwamba Rais wa Marekani Donald Trump anapanga kuanzisha chombo kipya cha kimataifa kitakachoshughulikia masuala ya amani. #dwkiswahili #dwhabari #videos