У нас вы можете посмотреть бесплатно Viongozi wa upinzani waendelea kumkosoa Rais Ruto wakihaidi kumbandua afisini или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Viongozi wa upinzani wameendelea kuukosoa uongozi rais William Ruto wakidai kuwa amesambaratisha sekta mbalimbali muhimu nchini wakiapa kuhakikisha hatarejea mamlakani baada ya uchaguzi mkuu mwakani. Wakizungumza wakati wa ziara yao kaunti ya Meru viongozi hao wamemsuta viongozi wa eneo hilo wanaoshirikiana na serikali huku wakimkosoa naibu wa rais Kithure kindiki kwa madai kuwa ameendelea kuwatenganisha wakaazi wa eneo la mlima kenya.