У нас вы можете посмотреть бесплатно MAGUFULI CITY, Waziri Mkuu Majaliwa Azindua Awamu ya Pili ya Ujenzi wa Ofisi za Mawizara Mtumba или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Leo Disemba 2, 2o21. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa amezindua awamu ya pili ya ujenzi wa Ofisi za Wizara katika Mji wa Serikali ujulikanao kwa Jina la MJI WA MAGUFULI (Magufuli City). Akihutubia wakati wa hafla hio, Waziri Mkuu amewataka Watanzania kujitokeza na kushiriki kikamilifu katika Maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania ambapo Kitaifa yatafanyika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam. Aidha Mheshimiwa Kassim Majaliwa amekabidhi TUZO kwa Makampuni na Mashirika ya Ujenzi yaliyohusika kujenga Ofisi za Serikali Awamu ya kwanza kwenye Mji wa Serikali Mtumba. SUMAJKT ni Miongoni mwa Mashirika hayo ambapo Tuzo hio ilipokelewa na Mkuu wa JKT Meja Jenerali Rajabu Mabele.