У нас вы можете посмотреть бесплатно "Swedy Mwinyi tulimtafutia mchumba akamkataa, alipenda kazi kuliko maisha yake" Mayalla afichua siri или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mwili wa aliyekuwa mtangazaji wa Shirika La Utangazaji Tanzania (TBC), Swedy Mwinyi umezikwa katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam huku wadau wakimkumbuka kwa mengi ikiwemo ushindi wa mabao 5-0, ilioupata Simba dhidi ya watani zao Yanga, mechi iliyopigwa Mei 6, 2012. Pascal Mayalla ambaye waliajiriwa pamoja kwa mara ya kwanza Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) na baadaye Shirika La Utangazaji Tanzania (TBC), amesema anamtambua Swedy kama mmoja wa waliokuwa wafanyakazi bora na rafiki wa kweli aliowahi kufanya nao kazi katika kipindi chake huku akikumbushia walipomtafutia mchumba wa kuoa na marehemu akamkataa.