У нас вы можете посмотреть бесплатно Mbunge aliyeruka sarakasi akomaa na Wizara ya Ujenzi kutotimiza ahadi или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mbunge wa Mbulu Vijijini (CCM), Flatei Massay amedai kupigwa changa la macho baada ya ahadi alizopewa jimboni kwake kutotimizwa na Wizara ya Ujenzi huku akitumia kishkwambi kutoa ushahidi. Flatei amesema hayo leo Mei 29, 2024 wakati kuchangia katika hotuba ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2024 / 2025, bungeni jijini Dodoma. Mbunge huyo aliwahi kuruka sarakasi bungeni Mei 23, 2022 ikiwa ni msisitizo wa kuonyesha msisitizo wa hoja yake kuwa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kutoa ahadi ya ujenzi wa barabara ya Mbulu hadi Haydom bila utekelezaji.