У нас вы можете посмотреть бесплатно SINGIDA WAJITOKEZA KLINIKI HUDUMA YA MSAADA WA KISHERIA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kliniki ya Huduma za Msaada wa Kisheria imewasili mkoani Singida leo Januari 9, 2026, ambapo mamia ya wananchi wamejitokeza kupata huduma hizo zinazotarajiwa kutolewa kwa kipindi cha siku mbili. Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Homera, amezindua rasmi kliniki hiyo katika viwanja vya Bishop Mabula Stand. Baadhi ya wananchi waliohudhuria wamesema wanatarajia kupata msaada wa kutatua changamoto zao za kisheria ambazo wamekuwa wakikabiliana nazo kwa muda mrefu