У нас вы можете посмотреть бесплатно CHEKECHE | Baada ya Marekani kufanikisha mkataba wa amani, hali ya utulivu itarejea DRC? или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo sasa inatazama matumaini mapya baada ya Marekani kufanikisha mkataba wa amani kati ya DRC na Rwanda, hatua ambayo imekuja baada ya juhudi za muda mrefu za Angola, AU na EAC kugonga mwamba. Eneo hilo limekumbwa na zaidi ya miaka 30 ya machafuko na uwepo wa makundi zaidi ya 100 ya waasi, yakiwemo M23, huku utajiri mkubwa wa madini ukiendelea kuchochea mvutano. Lakini bado kuna maswali: Je, mkataba huu utaaminika na kutekelezwa? Na Marekani kweli inaweza kuwa mpatanishi wa dhati katika mgogoro wenye mizizi ya muda mrefu? Haya ndiyo tunayotafakari katika Chekeche ukiwa na Raymond Nyamwihula. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi