У нас вы можете посмотреть бесплатно ASKOFU MUHAGACHI ATUMIA SIKU YA CHRISTIMAS KUMTATHMINI RAIS MAGUFULI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Tathmini hiyo imetolewa na ASKOFU AMOS MUHAGACHI wa kanisa la Mennonite Dayosisi ya Arusha katika siku ya sikukuu ya Christimas ASKOFU MUHAGACHI amesema kuwa Rais MAGUFULI ameweza kutoa maamuzi bila kujali watu watapokea kwa namna gani tofauti na viongozi wengine wa awali. Nae mchungaji wa kanisa hilo ndugu PETER OJODE amesema kuwa ni wakati wa kuliombea taifa hili liweze kuwa na amani na baraka Huku waumini wa kanisa hilo wakipokea siku ya Christimas kwa bashasha kwakuwa mkombozi wa maisha yao Bwana YESU amezaliwa .