У нас вы можете посмотреть бесплатно HOJA MEZANI | Kero za wananchi zitatuliwe na viongozi wa maeneo yao kabla ya kufika serikali kuu или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mhadhiri kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam Dkt.Richard Mbunda amesema wananchi wanapaswa kutumia sauti zao kupitia viongozi waliouchagua ili kuwasilisha changamoto zinazo wakabili kwa ajili ya kutafutiwa ufumbuzi Dkt. Mbunda amesisitiza kuwa viongozi wa ngazi za chini wanapaswa kufanya ziara za mara kwa mara katika maeneo yao ili kubaini na kushughulikia changamoto za wananchi ,badala ya kusubiri hadi viongozi wa ngazi za juu wafike ndipo hatua zichukiliwe.