У нас вы можете посмотреть бесплатно KANISA LA SAUTI YA MTU ALIYE NYIKANI MTWARA LAWASAIDIA WENYE UHITAJI | WAUKARIBISHA MWAKA KWA MAOMBI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kanisa la sauti ya Mtu aliye nyikani lililopo Mtaa wa Mbae Mashariki Kata ya Ufukoni mkoani Mtwara, Limefanya maombi maalumu ya kuukaribisha Mwaka 2026 pamoja na kutenda matendo ya huruma kwani wametoa Chakula kwa Watu wasiojiweza ( Wenye mahitaji maalumu). Hayo yamefanyika hii leo Januari 01, 2026 katika kanisa hilo ambapo Viongozi mbalimbali wa Dini na wale wa Serikali pamoja na Waumini wa kawaida walihudhulia ibada hiyo, ambapo wengi wao wamesifu na kupongeza hiki kilichofanyika. SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YA FAIDA ONLINE TV ILI KUPATA HABARI ZETU