У нас вы можете посмотреть бесплатно AHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA KISA PIKIPIKI HUKU WENGINE WAKIFURAHIA SIKUKUU YA CHRISTMAS MTWARA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mahakama ya Tanzania kanda ya mtwara imemhukumu kunyongwa hadi kufa Ndugu Chales George Valentino, (25) Mkazi wa Kijiji cha Nangola Wilaya ya Nachingwea Mkoani Lindi baada ya kumuua Dereva bodaboda aitwae Shija Juma Mkama (18) mkazi wa Kijiji cha Mtunguru wilaya ya Newala kisha kuchukua Pikipiki pamoja na simu na kuondoka navyo. Katika hatua nyinine Mahakama ya wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara, imemhukumu Kifungo cha miaka 60 Jela Azizi Yahaya Omari maaruku kwa jina la Rap Baba Nyokoo (55) mkazi wa Kata ya Mkuti Masasi baada ya kumbaka Mtoto wa kidato cha kwanza mwenye umri wa miaka 15 na kumsababishia ujauzito. SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YA FAIDA ONLINE TV ILI KUPATA HABARI ZETU.