У нас вы можете посмотреть бесплатно MAJI YAVAMIA MASHAMBA KIVAVA| WAHOFIA MAFURIKO KAMA YA MWAKA JANA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wananchi wa Kijiji cha Kivava, Kata ya Mahurunga Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Mkoani hapa wamesema wanahofu ya kukumbwa tena na Mafuriko baada ya kufurika kwa Mto Ruvuma kwa kuwa Mwaka jana walikumbwa na mkasa huo. Wakiongea na Fida Oblinr TV baada ya kuwatembelea Kijijini hapo wameongeza kuwa Mashamba yao yote yamezama kwenye Maji na hawatarajii kuvuna chochote. SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YA FAIDA ONLINE TV