У нас вы можете посмотреть бесплатно KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA EVENING GLORY ( THE SCHOOL OF HEALING ) 27 OCTOBER 2025 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA EVENING GLORY- ( THE SCHOOL OF HEALING ) 27 OCTOBER 2025 KUOMBA KUNAKOAMBATANA NA KUFUNGA Mathayo 17 : 21 Ayubu 22:21 Mathayo 17:14-20 3 Yohana 1:2 Waebrania 11 : 1 Warumi 10 : 10,17 1 Samwel 16 : 7 Luka 18 : 41 - 42 Mathayo 17 : 18 - 19 Mathayo 17 : 21 21 Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga. Ayubu 22 : 21 21 Mjue sana Mungu, ili uwe na amani; Ndivyo mema yatakavyokujia. Mathayo 17 : 14 - 20 14 Nao walipoufikia mkutano, mtu mmoja akamjia, akampigia magoti, akisema, 15 Bwana, umrehemu mwanangu, kwa kuwa ana kifafa, na kuteswa vibaya; maana mara nyingi huanguka motoni, na mara nyingi majini. 16 Nikamleta kwa wanafunzi wako, wasiweze kumponya. 17 Yesu akajibu, akasema, Enyi kizazi kisichoamini, kilichopotoka, nitakaa pamoja nanyi hata lini? Nitachukuliana nanyi hata lini? Mleteni huku kwangu. 18 Yesu akamkemea pepo, naye akamtoka; yule kijana akapona tangu saa ile. 19 Kisha wale wanafunzi wakamwendea Yesu kwa faragha wakasema Mbona sisi hatukuweza kumtoa? 20 Yesu akawaambia, Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu. Kwa maana, amin, nawaambia, Mkiwa na imani kiasi cha punje ya haradali mtauambia mlima huu, Ondoka hapa uende kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisilowezekana kwenu. 3 Yohana 1 : 2 1 Mzee, kwa Gayo mpenzi, nimpendaye katika kweli. Waebrania 11 : 1 1 Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana. Warumi 10 : 10, 17 10 Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu. 17 Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo. 1 Samweli 16 : 7 7 Lakini Bwana akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. Bwana haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali Bwana huutazama moyo. Luka 18 : 41 - 42 41 Wataka nikufanyie nini? Akasema, Bwana, nipate kuona. 42 Yesu akamwambia, Upewe kuona; imani yako imekuponya. Mathayo 17 : 18 - 19 18 Yesu akamkemea pepo, naye akamtoka; yule kijana akapona tangu saa ile. 19 Kisha wale wanafunzi wakamwendea Yesu kwa faragha wakasema Mbona sisi hatukuweza kumtoa? 1. Omba Toba na Rehema. 2. Kuomba Maarifa,Neema,Roho na Nguvu ya MAOMBI. Mhubiri: Mwl. Eng.Goodluck Mushi Kwa maombi na ushauri : Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053 Mch. Msaidizi: Anna Kuyonga Simu: +255 713 553 443 YouTube: Kijitonyama Lutheran church Barua Pepe : [email protected]