У нас вы можете посмотреть бесплатно MWILI WA MEMBE ULIVYOPOKELEWA RONDO CHIPONDA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mwili wa aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya nje katika serikali ya awamu ya Nne, hayati Bernard Kamilius Membe, umewasili nyumbani kwake Rondo Chiponda, Mkoani Lindi na kuhifadhiwa nyumbani kwake kwa ajili ya taratibu nyingine za kifamilia. Zoezi la mapokezi ya mwili huo limeongozwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye. PIA USIACHE KU SUBSCRIBE CHANNEL YETU Khomein Tv YOUTUBE UWE WAKWANZA KUFIKIWA NA HABARI ZETU