У нас вы можете посмотреть бесплатно Kwanini Niliacha Kazi na Shughuli Zangu kwa Ajili ya Injili?! Mwl. Eng. Goodluck Mushi Afunguka или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Katika mahojiano ya kipekee yaliyofanyika Chunya kupitia Eneza TV, Mwl. Eng. Goodluck Mushi – mhubiri wa kimataifa na mwalimu wa Neno la Mungu – anashiriki safari yake ya kipekee kutoka Dar es Salaam hadi Chunya kwa ajili ya kuhubiri Injili ya Yesu Kristo. Anafunua kilichomsukuma kuacha shughuli zake binafsi, namna anavyobalance kazi yake ya uinjinia na huduma ya injili, na umuhimu wa watumishi wa Mungu kutembea katika kusudi la Mungu. Pia, anatuma wito kwa watumishi vijana kujitoa kikamilifu kumtumikia Mungu, akisisitiza kuwa Injili ni bure lakini kuifikisha kunahitaji gharama. 🔔 Tazama video hii ujifunze, uhamasike na kutiwa moyo katika mwito wako! 📍 Usisahau kusubscribe, kulike, kucomment na kushiriki ili Injili ifikie wengi.