У нас вы можете посмотреть бесплатно KITUO CHA AFYA BWISYA UKEREWE SASA KUFIKIRIWA KUWA HOSPITALI. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Hii ni ziara ya kwanza ya kufanywa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, kisiwa cha Ukara Wilayani Ukerewe Mkoani Mwanza. Ambapo awali baada ya Makamu wa Rais kuhani eneo la makaburi ilimolala miili ya baadhi marehemu kati ya mamia waliofariki kwenye ajali ya Meli ya MV Nyerere iliyotokea Septemba 19 mwaka 2018, na kuweka shada la maua pia aliweka Jiwe la Uzinduzi wa Majengo mapya ya Kituo cha Afya Bwisya Ukara.